MOROGORO TEACHERS' COLLEGE BLOG
Tuesday, 6 February 2024
Monday, 21 November 2022
| |FORM FIVE| |
| |DIPLOMA YEAR 1| |
| |DSEE MOCK| |
| |FORM SIX MOCK| |
| |DSEE MOCK ZONAL BEST AND WORST| |
| |FORM SIX MOCK ZONAL BEST AND WORST| |
| |DSEE MOCK MOTCO BEST AND WORST| |
| |FORM SIX MOCK MOTCO BEST AND WORST| |
Tuesday, 2 August 2022
TEST RESULT
| |FORM FIVE| |
| |FORM SIX| |
| |DIPLOMA YEAR 2&3| |
Monday, 1 August 2022
TEST RESULT
| |FORM SIX| |
| |NORMAL DIPLOMA| |
| |SPECIAL DIPLOMA| |
Saturday, 27 February 2021
MOCK EXAMINATION RESULT FEB 2021
SECOND YEAR SPECIAL DIPLOMA
For Morogoro TC students only
GENERAL RESULT
////RESULT BASED ON AVERAGE SCORE
//// ANALYSIS //// ANALYSIS //// BEST AND POOR(ALL SPECIAL ZONE COLLEGES)For any special case or clarification concerning these results call 0768235410 for MOTCO students only
Wednesday, 15 July 2020
Monday, 25 May 2020
Kuripoti chuoni tarehe 30/5/2020
CHUO CHA UALIMU MOROGORO
MAELEKEZO MUHIMU KWA WANACHUO
Kutokana na maelekezo ya Serikali ya kuwa Vyuo vifunguliwe tarehe 01/06/2020 kwasababu ya kupungua kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona.Hivyo, wanachuo wote wanatakiwa kuripoti Chuoni tarehe 30/5/2020 ili ufundishaji na ujifunzaji darasani uanze rasmi tarehe 01/06/2020.
Kila mwanachuo atatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo:
a) Uwe na Kitakasa Mikono (Sanitizer) kwa matumizi yako binafsi ili kujilinda na kuwalinda wengine.
b) Uwe na Barakoa utakazozitumia pindi ukiwa kwenye mikusanyiko ya watu.
c) Ufikapo chuoni, unatakiwa kujisajili getini na katika ofisi ya Usajili ambako utapewa maelekezo muhimu ya namna ya kuishi salama hapa chuoni.
d) Kuzingatia taratibu na tahadhari zote zilizowekwa na Wizara ya Afya katika safari yako na kuishi kwako hapa chuoni.
Karibu tena chuoni na ninawatakia safari njema ya kurejea chuoni.
AUGUSTINE J. SAHILI
MKUU WA CHUO
Tarehe 25/05/2020
Subscribe to:
Posts (Atom)